Logo ya Kanisa la Kristo Tanzania - Makanisa Yote Tanzania

Kanisa la Kristo

Makanisa Yote Tanzania

Kuhusu Sisi

Jifunze zaidi kuhusu historia, malengo na timu yetu

Soma Zaidi
7
Makanisa Yaliyosajiliwa
25+
Mikoa
100+
Wachungaji

Utangulizi

Ni jukwaa la makusanyiko ya kanisa la Kristo nchini

Dhamira Yetu

Kuwa na jukwaa la kidigitali lenye taarifa za makanisa ya Kristo Tanzania kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa taarifa/location za makusanyiko nchini ili kuimarisha ushirikiano, ushirika wa kiroho kwa waumini wote

Maono Yetu

Kuona Tanzania yenye makanisa ya Kristo yanayoshirikiana, kukua pamoja na kushiriki ujumbe wa injili kwa ufanisi zaidi.

Maadili Yetu

Kanuni tunazozishika katika utekelezaji wa kazi zetu

Uaminifu kwa Biblia

Tunazingatia mafundisho ya Biblia kama msingi wa kila kitu tunachofanya.

Ushirikiano

Tunaamini katika nguvu ya ushirikiano na kufanya kazi pamoja.

Upendo

Upendo wa Kristo ndio kiini cha huduma zetu zote.

Ubunifu

Tunatumia mbinu mpya za kiteknolojia kufikia malengo yetu.

Jumuiya

Tunaamini katika ujenzi wa jumuiya thabiti za Kikristo.

Uenezi

Tunahitaji kueneza injili kila kona ya Tanzania.

Timu Yetu

Watendaji wanaofanya mradi huu uwezekane

Mkurugenzi - Kanisa la Kristo Tanzania

Momburi Evance

Mkurugenzi

Mtengenezaji wa Mfumo - Kanisa la Kristo Tanzania

Erasto Salvatory

Mtengenezaji wa Mfumo

Mratibu wa Mikoa - Kanisa la Kristo Tanzania

Elia Chilemela

Mratibu wa Mikoa

Mbunifu - Kanisa la Kristo Tanzania

Derick Kidava

Mbunifu

Je, Unataka Kujiunga Nasi?

Kama unawakilisha kanisa la Kristo Tanzania na unataka kujiunga na mfumo wetu, wasiliana nasi kwa maelezo zaidi.

onedigitalkingdom@gmail.com Piga Simu